Mratibu wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Onesmo Olengurumwa akizungumza na waandishi wa habari
Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu nchini (THRDC), wameyataka mashirika na taasisi za kusaidia jamii, makanisa na misikiti kuwasaidia watu wanaovunjiwa nyumba zao na kuachwa bila makazi.