Zaidi ya watu 1600 hawana mahali pa kuishi Malinyi

Mkuu wa wilaya ya Malinyi Christina Mndeme anayeisimamia pia wilaya ya Ulanga.

Familia 366 zenye wakazi zaidi ya 1600 wa vijiji mbalimbali vya wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao kuezuliwa na upepo na nyingine kubomoka, kufuatia mvua iliyoambatana na upepo mkali kunyesha

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS