Taasisi zatakiwa kuwasaidia wahanga bomoa bomoa

Mratibu wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Onesmo Olengurumwa akizungumza na waandishi wa habari

Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu nchini (THRDC), wameyataka mashirika na taasisi za kusaidia jamii, makanisa na misikiti kuwasaidia watu wanaovunjiwa nyumba zao na kuachwa bila makazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS