Mbarawa atoa siku tatu ukarabati wa reli Kilosa
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Pro. Makame Mbarawa amewataka watendaji wa shirikla la reli nchini na kampuni hodhi ya mali za reli kuhakikisha sehemu ya reli iliyosombwa na mafuriko wilayani Kilosa mkoani Morogoro inaungwanishwa