Kocha Mayanja aanza na ushindi Simba

Kaimu kocha mkuu wa timu ya Simba Mganda Jackson Mayanja.

Ni kama kisasi unaweza kusema hii ni baada ya wekundu wa Msimbazi Simba hii leo kuwasimamisha wakata miwa wa Manungu Turiani timu ya Mtibwa Sukari kwa bao 1-0 ikiwa imepita wiki 1 tangu walipofungwa na timu hiyo katika michuano ya kombe la mapinduzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS