Mikoa tisa yakabiliwa na Uhaba wa Madaktari bingwa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu
Serikali imesema imebaini mikoa tisa nchini Tanzania inakabiliwa na uhaba mkubwa wa Madaktari bingwa hali inayowafanya wananchi wa maeneo hayo wakose huduma bora za kiafya katika mikoa yao.