kocha mpya wa Real Madrid Zinedine Zidane enzi zake za uchezaji akifanya tukio la kihistoria la kumpiga kichwa beki wa Italia Marco Materazzi kwenye fainali za kombe la dunia nchini Ujerumani.
Uongozi wa klabu ya Real Madrid umememteua Zinedine Zidane Zizou kuwa kocha wa muda baada ya kufuta kazi kocha wake Rafael Benitez ambaye amedumumu Miezi saba tu katika Mkataba wake wa Miaka Mitatu.