Tutahakikisha nidhamu inarudi Serikalini- Majaliwa
Waziri mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa,amesema imeweka msisitizo katika kuhakikisha inarudisha nidhamu kwa watumishi wa uma kwa kuweka mkazo katika uadilifu, uwajibikaji, kutoa huduma kwa wakati.
