Nchemba atumbua jipu la Pugu na Vingunguti

Waziri wa Kilimo, mifugo na Uvivu, Mhe. Mwigulu Nchemba, Waziri wa TAMISEMI Mhe. George Simbachawene, na Naibu waziri wa afya jinsia , watoto na wazee Dkt. Hamis Kigwangala wakiteta jambo baada ya kutembelea mnada wa Pugu na machinjio ya vingunguti

Waziri wa Kilimo, mifugo na Uvivu, Mhe. Mwigulu Nchemba amewafukuza kazi Mkuu wa mnada wa Pugu na watumishi waliokuwa zamu kuanzia tare 24 mwezi 12 mwaka jana hadi tarehe 1 mwaka huu kutokana na kuwepo kwa ubadhirifu wa ukwepaji kodi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS