Watumishi watatu TPA wahamishwa ofisi

Waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amewabadilishia maeneo ya kazi watumishi 3 wa mamlaka ya bandari nchini TPA kwa kushindwa kuendana na kasi ambayo wizara inaitaka kwenda nayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS