Ndanda FC yatema watatu msimu ujao wa ligi

Kikosi cha Ndanda FC kilichoshiriki ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/16

Klabu ya soka ya Ndanda FC ya mkoani Mtwara imetangaza kuachana na wachezaji wake watatu ambao walikuwa nao katika misimu miwili iliyopita katika ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS