Kikosi cha Ndanda FC kilichoshiriki ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/16
Klabu ya soka ya Ndanda FC ya mkoani Mtwara imetangaza kuachana na wachezaji wake watatu ambao walikuwa nao katika misimu miwili iliyopita katika ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara.