JK sijaomba kuchaguliwa katibu mkuu wa UN
RAIS Mstaafu Jakaya Kikwete amesema hajaandika barua ya kuomba kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wala hana mpango wa kuandika barua kuomba nafasi hiyo isipokuwa atakuwa tayari kuwatumikia wa Afrika kama waafrika wenyewe wataona

