Sheria ya mitandao imepunguza matukio ya uchochezi

Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani amesema kwamba kuanzia kuanza kutumia kwa sheria ya mitandao ya mwaka 2015 kumesaidia sana kupunguza uchochezi na picha zisizofaa kwenye mitandao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS