Airtel yanufaisha sekta mbalimbali Tabora

Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)

Wahudumu wa sekta mbalimbali za kijamii Mkoani Tabora na Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Ilolangulu mkoani humo wameanza kunufaika na mpango wa kuunganishwa na kujifunza kupitia wa mtandao wa Airtel kwa huduma za Internet ya bila malipo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS