Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mh Nape Nnauye
Serikali ya Tanzania imetangaza kuyafutia usajili magazeti 473 ambayo hajachachapishwa kwa muda wa miaka mitatu,baada ya kubaini magazeti hayo yamesajiliwa pasipo kuchapishwa kwa muda mrefu.