Maridhiano ndiyo lugha ya upinzani- Mbatia
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Injinia James Fransis Mbatia amesema kwamba maamuzi yoyote ambayo kambi ya upinzani itayafanya endapo wataitwa na kamati ya maridhiano juu ya kususia Bunge wao watakachoangalia ni maslahi ya kitaifa.

