Kombe la CAF lakatiza likizo ya Kocha Pluijm

Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga, Hans van der Pluijm.

Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga, Hans van der Pluijm amelazimika kukatisha mapumziko yake nchini Ghana, kwa ajili kuwahi kuja kujiandaa timu kwa ajili ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF), linaloanza wiki ijayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS