Polisi Jijini Mwanza wakiwa katika harakati za kupambana na Majambazi katika mapango ya Utemini.
Baadhi ya wakazi wa Jiji la Mwanza wameiomba serikali kuimairisha ulinzi kwenye mapango yalipo Jijini humo ili yasigeuzwe kuwa maficho ya wahalifu kama ilivyobainika hivi karibuni.