MTPC yalilia mikataba ya Waandishi

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel.

Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC), kimeiomba wizara ya habari,utamaduni, sanaa na michezo kuwashinikiza waajiri kuwapatia mikataba waandishi ili kulinda masilahi yao na kutatua baadhi ya changamoto za kimkataba wanazokabiliana nazo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS