Mwezi wa Ramadhan ulete mabadiliko ya kweli-Jalala

Kiongozi Mkuu wa dini ya kiislam wa madhebu ya Shia, ithana Sharia, Sheikh Hemed Jalala

Waislam nchini Tanzania wametakiwa kuutumia mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ulioanza hii leo kwa kuwasaidia watu mbalimbali ikiwemo wenywe mahitaji maalumu na kufanya ibada ili wapate baraka kutoka kwa mwenyezi Mungu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS