Kozi za ukocha CAF kufanyika katika Mikoa mitatu

Rais wa CAF, Issa Hayatou

Shirikisho la Soka Tanzania TFF kupitia Idara ya Ufundi, imetangaza kozi nne (4) za Leseni za Shirikisho la Soka Afrika CAF zinazotarajiwa kuanza Juni 20 mwaka huu katika Mikoa ya Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS