Hamilton aingiwa na mchecheto kutetea ubingwa wake

Bingwa mara mbili mfululizo wa Formula One Lewis Hamilton (pichani) katika moja ya mbio za mashindano hayo.

Dereva wa mbio za magari za Langalanga Lewis Hamilton amesema matatizo ya kiufundi yanayomkabili yanamtia hofu kuwa huenda yakapelekea kushindwa kwake katika mbio za kutetea ubingwa wa dunia katika mashindano ya formula One mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS