Mkapa;Shule za Dini zilisaidia dini zote
Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu nchini Tanzania,Benjamin Wiliam Mkapa amesema Rais wa awamu ya Kwanza Mwalimu Julius Nyerere alifanikiwa kujenga misingi imara ya kielimu hali iyowezesha wananchi wengi zaidi kupata fursa ya kuondokana na ujinga