Higuain aikana Napoli, milango wazi kwa wanaomtaka

Gonzalo Higuain(pichani) akishangilia moja ya bao aliloifungia Napoli.

Wakala wa mshambuliaji wa Argentina Gonzalo Higuain amethibitisha kuwa nyota huyo hatorefusha mkataba wa kuendelea kuichezea klabu yake hiyo ya sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS