Higuain aikana Napoli, milango wazi kwa wanaomtaka Gonzalo Higuain(pichani) akishangilia moja ya bao aliloifungia Napoli. Wakala wa mshambuliaji wa Argentina Gonzalo Higuain amethibitisha kuwa nyota huyo hatorefusha mkataba wa kuendelea kuichezea klabu yake hiyo ya sasa. Read more about Higuain aikana Napoli, milango wazi kwa wanaomtaka