Serengeti Boys yaishushia mvua Shelisheli kwao

Serengeti Boys wakiwa katika moja ya mazoezi yao jijini Dar es Salaam kabla ya kwenda Shelisheli.

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana ya Tanzania waliochini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys hii leo imefanikiwa kuiondosha Shelisheli katika mchezo wa marudiano kuwania tiketi ya kucheza fainali za mataifa ya Afrika kwa vijana AFCON U17

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS