Upembuzi kuanza barabara ya Tarime hadi Nyamwaga
Serikali imesema imetenga fedha kiasi cha shilingi milioni 430 kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina katika barabara ya Tarime kwenda Nyamwaga hadi Mugumu katika mwaka wa fedha 2016 & 2017.