Novak Djokovic achapwa na Sam Querrey Wimbledon

Mcheza tenisi Sam Querrey aishangilia baada ya kumchapa Novak Djokovic.

Mcheza tenisi namba moja kwa ubora duniani Novak Djokovic jioni ya jumamosi ya hii leo amejikuta akipata matokeo ya kushangaza baada ya kuondoshwa katika michuano mikubwa ya Grand Slam ya Wimbledon inayoendelea nchini Uingereza

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS