Novak Djokovic achapwa na Sam Querrey Wimbledon
Mcheza tenisi namba moja kwa ubora duniani Novak Djokovic jioni ya jumamosi ya hii leo amejikuta akipata matokeo ya kushangaza baada ya kuondoshwa katika michuano mikubwa ya Grand Slam ya Wimbledon inayoendelea nchini Uingereza

