Wabishi Iceland wakiona wapigwa mkono na Ufaransa
Dunia jana ilishuhudia jumla ya magoli saba yakitinga nyavuni katika mchezo wa robo fainali ya mwisho baina ya wenyeji Ufaransa ambao walikuwa wakivaana na timu ngumu ya Iceland mchezo uliopigwa katika dimba la Stade de France.
