TBS kuwafikisha mahakamani wanaoingiza bidhaa feki Kaimu mkurugenzi wa shirika la viwango nchini Tanzania TBS Dkt.Egid Mubofu amekemea wafanyabiashara wasio waaminifu ambao wanatumia njia za panya kuingiza bidhaa zilizo chini ya kiwango nchini. Read more about TBS kuwafikisha mahakamani wanaoingiza bidhaa feki