Viongozi chanzo cha kukwama kwa vyama vya ushirika

Naibu Waziri wa Kilimo , Mifugo na Uvuvi William Tate Ole Nasha amekemea tabia ya viongozi wa vyama vya ushirika kutumia mali za ushirika na kududumiza vyama vyao hadi vingine kufa kabisa huku wao wakineemeka na mali za wanachama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS