Nonga, Chidiebre kusaini kuitumikia Stand United Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Paul Nonga. Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga Paul Nonga anatarajiwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Stand United katika msimu ujao wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara. Read more about Nonga, Chidiebre kusaini kuitumikia Stand United