Mlinda mlango wa Yanga Dida akiwa golini kusubiri mpira ambao unawaniwa na beki wa Yanga, Mbuyu Twite aliyeruka juu kupiga mpira kwa kichwa dhidi ya Jean Kasusula wa TP Mazembe
Mlinda mlango wa Klabu ya Yanga Deogratius Munish Dida amesema wataendelea kuiheshimu timu ya TP Mazembe kutokana na kiwango walichokionyesha katika mchezo wao hapo jana.