Teknolojia inasaidia kupunguza rushwa -Nikki

Msanii wa kundi la Weusi Nikki wa Pili

Rapa maarufu nchini Tanzania wa kundi la Weusi Nikki wa Pili amesema kwamba teknolojia ni muhimu sana katika utendaji wa kazi mbalimbali katika jamii kwani huondoa ukiritimba na kupunguza kupokea na kutoa rushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS