Lowassa ataka Katiba mpya.

Waziri mkuu mstaafu na aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Edward Lowasa amesema kuwa ili Tanzania iweze kupata maendeleo ya kweli ni lazima ipate katiba mpya itakayowezesha wananchi kuwa na uhuru wa kidemokrasia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS