Ajenda ya viwanda imeanza kuzaa matunda - Serikali

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji mhandisi Joseph Malongo

Serikali imesema juhudi za ujenzi wa uchumi wa viwanda zimeanza kuonekana kupitia ongezeko maombi ya wafanyabiashara wanaotaka kufungua viwanda maeneo mbali mbali nchini, sekta ambayo ndiyo tegemeo la kuongeza fursa za ajira na kukuza pato la taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS