Waislam dhehebu la Shia walilia amani ya Palestina

Waislam wa dhehebu la Shia nchini Tanzania wameviomba vyombo vya usalama vya kimataifa kuhakikisha vinaweka juhudi za dhati katika kuumaliza mgogoro unaoendelea kati ya Palestina na Israel kwani wananchi wa nchi hizo wanapata mateso makubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS