Simbeye awatawa vijana nchini kuchangamkia fursa
Mwenyekiti Mtendaji wa Sekta Binafsi Nchini (TPSF), Godfrey Simbeye, amewataka vijana kujituma kwa hali na mali katika kutumia fursa zilizopo nchini ili ziweze kuwazalishia kipato ikiwa ni pamoja na kujiajiri na kuajiri vijana wengine.