Rais Magufuli azindua kituo cha mawasiliano Polisi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na baadhi ya viongozi wa jeshi hilo wakati wa ufunguzi wa kituo cha mawasiliano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo, amezindua kituo cha mawasiliano cha Jeshi la Polisi ambacho kitarahisisha utoaji wa taarifa za uhalifu na kuharakisha askari polisi kufika katika eneo la tukio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS