Beki za pembeni zaiumiza kichwa Yanga CAF

Beki kisiki wa kulia wa Yanga Juma Abdul.

Yanga itakuwa dimbani Jumanne ijayo kuwavaa TP Mazembe katika mechi ya Kundi A ya Kombe la Shirikisho Afrika linaloandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf), hofu kubwa ya timu hiyo ni sehemu ya ulinzi wa pembeni beki ya kulia na beki ya kushoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS