Poland yatinga robo fainali Euro yaichapa Uswizi

Wachezaji wa timu ya Taifa ya Poland wakishangilia baada ya kutinga robo fainali ya Euro 2016.

Hatua ya mtoano ya kombe la Mataifa ya Ulaya Euro 2016 imeenza huku ikishuhudiwa timu ya Poland ikitangulia kutinga robo fainali ya michuanho hiyo nakuiondosha mashindanoni timu ngumu ya taifa ya Uswizi kwa changamoto ya mikwaju ya penati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS