Shirikianeni na polisi kufichua waovu-Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiongea katika uzinduzi wa uboreshaji wa jeshi la Polisi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi katika kuwafichua wahalifu ili kutokomeza matukio ya uhalifu na kuiweka nchi salama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS