Vijana wengi hawaamini kujitolea - Rebeca Gyumi
Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Rebeca Gyumi na Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali la Msichana Initiative, Rebeca Gyumi amesema vijana wengi nchini hawaamini katika kujitolea kwanza ili kufikia malengo na mafanikio.

