Mmoja afariki kwa kunywa gongo Jijini Mwanza

Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Ahmed Msangi.

Mtu mmoja katika kijiji cha Kitumba tarafa ya Sanjo wilaya ya Magu mkoa wa Mwanza, aliyejulikana kwa jina la Wilson Magola amefariki dunia baada ya kunywa pombe aina ya gongo pamoja na pombe ya ndizi (banana) kupita kiasi bila ya kula chakula.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS