BMT yawataka wenye sifa kuchukua fomu JATA
Baraza la michezo nchini BMT limewataka wanachama wa Chama cha Judo nchini JATA wenye sifa za kugombea uongozi ndani ya chama hicho kuendelea kujitokeza kwa ajili ya kuchukua fomu za uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Agosti 06 jijini Dar es salaam.
