Makamu mwenyekiti NCCR Mageuzi avuliwa uanachama

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia

Mwenyekiti wa chama cha siasa NCCR Mageuzi James Mbatia amesema chama hicho kimemsimamisha uongozi wa umakamu mwenyekiti (Bara) Leticia Ghati Mosore na kisha kumvua uanachama baada ya kubainika kuwa na makosa mbalimbali ya kinidhamu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS