Kuna muda nilishindwa kutabasamu - Chid Benz

Msanii Chid Benz

Msanii wa Bongo Flava Chid Benz amesema kwamba akifikiria maisha ya nyuma anakumbuka kuna wakati alikosa kutabasamu kutokana na hali ya madawa ambayo ilikuwa ikimuandama ambayo anasema kwa sasa ameweza kuachana nayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS