Bolt aumia hatihati kuikosa michuano ya Olimpiki

Mmoja wa Madaktari akimhudumia mwanariadha wa Jamaica wa Usain Bolt.

Wasiwasi mkubwa umekikumba kikosi cha timu ya taifa ya riadha ya Jamaica kufuatia kuumia ghafla kwa mmoja wa wachezaji wake tegemeo Usain Bolt ambaye ameumia wakati wa mazoezi yake ya maandalizi ya michuano ya Olimpiki itakayofanyika Agasti mwaka huu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS