Magufuli aahidi kuboresha maslahi ya watumishi CCM

Baadhi ya watumishi wa CCm wakimsikiliza mwenyekiti wao Dkt John Magufuli

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa mara ya kwanza amekutana na kuzungumza na wajumbe wa Sekretarieti ya chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS