Madawati tayari bado madarasa-Hapi

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ali Salum Hapi

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni amesema kuwa wilaya yake imeshakamilisha kwa asilimia 100 tatizo la Madawati lakini bado kuna changamoto ya vyumba vya madarasa ambavyo wameweka mkakati wa kumaliza tatizo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS