Madawati tayari bado madarasa-Hapi Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ali Salum Hapi Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni amesema kuwa wilaya yake imeshakamilisha kwa asilimia 100 tatizo la Madawati lakini bado kuna changamoto ya vyumba vya madarasa ambavyo wameweka mkakati wa kumaliza tatizo hilo. Read more about Madawati tayari bado madarasa-Hapi