Zalisheni kwa wingi ili kuiteka SADC-Ole Nasha

Naibu waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, William Ole Nasha,

Serikali imeiagiza bodi ya machinjio ya kisasa iliyopo Kizota katika Manispaa ya Dodoma kuanza kufanya biashara ya nyama ili kuweza kuteka soko la nchi za jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika (SADC) zinazokabiliwa na ukame.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS