NDC yaanza kuchochea ujenzi wa viwanda

Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano kwa Umma wa NDC Bw. Abel Ngapemba

Shirika la Maendeleo la Taifa NDC limeanza utengenezaji wa mashine na vipuli kwa ajili ya kuongeza thamani bidhaa na mazao ya kilimo, hatua inayochochea kasi ya utekelezaji wa mpango wa serikali wa ujenzi wa viwanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS