Roger Federer ajiondoa kushiriki Olimpiki Mchezaji wa Uswisi katika mchezo wa tennis Roger Federer, ametangaza kujitoa kwenye michuano ya Olimpiki, kufuatia kuuguza majeraha ya goti, aliyoyapata mwanzoni mwa mwaka huu. Read more about Roger Federer ajiondoa kushiriki Olimpiki