Filbert Bayi ammwaga Thomas Mashali Olimpiki

Thomas Mashali(pichani) akijiandaa kupanda ulingoni.

Jumla ya wanamichezo kumi na mbili wa timu ya Tanzania ya Olimpiki wakiwemo wanariadha, waogeleaji, wachezaji wa judo, makocha na matabibu wanatarajiwa kuondoka nchini mwezi wa nane mwaka huu kueleka jijini Rio nchini Brazil.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS