TBF kuendesha kozi ya waamuzi kesho Rais wa shirikisho la Mpira wa kikapu nchini TBF Mhandisi John Bandiye anatarajiwa kufungua mafunzo ya waamuzi wa mchezo huo yatakayofanyika hapo kesho viwanja wa kukuza michezo vya JK Park jijini Dar es salaam. Read more about TBF kuendesha kozi ya waamuzi kesho