TBF kuendesha kozi ya waamuzi kesho

Rais wa shirikisho la Mpira wa kikapu nchini TBF Mhandisi John Bandiye anatarajiwa kufungua mafunzo ya waamuzi wa mchezo huo yatakayofanyika hapo kesho viwanja wa kukuza michezo vya JK Park jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS