Filbert Bayi ammwaga Thomas Mashali Olimpiki
Jumla ya wanamichezo kumi na mbili wa timu ya Tanzania ya Olimpiki wakiwemo wanariadha, waogeleaji, wachezaji wa judo, makocha na matabibu wanatarajiwa kuondoka nchini mwezi wa nane mwaka huu kueleka jijini Rio nchini Brazil.