Fainali ya Miss Tanzania 2016 kufanyikia Mwanza

Baadhi ya Washiriki wa Miss Tanzania 2016 walipotembelea EATV, leo

Shindano la Miss Tanzania ambalo lilikuwa limesimama kwa muda kidogo limerejea kwa kasi ya aina yake ambapo mwaka huu shindano hilo linafanyika kwa mara ya kwanza nje ya Jiji la Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS