Ethiopia yatangaza hali ya dharura kwa miezi sita

Waandamanaji nchini Ethopia.

Serikali ya Ethiopia imetangaza hali ya dharura kwa miezi sita baada ya miezi kadhaa ya maandamano dhidi ya serikali, yaliyofanywa na makabila mawili makubwa ya Ethiopia ya Oromo na Amhara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS