Ethiopia yatangaza hali ya dharura kwa miezi sita Waandamanaji nchini Ethopia. Serikali ya Ethiopia imetangaza hali ya dharura kwa miezi sita baada ya miezi kadhaa ya maandamano dhidi ya serikali, yaliyofanywa na makabila mawili makubwa ya Ethiopia ya Oromo na Amhara. Read more about Ethiopia yatangaza hali ya dharura kwa miezi sita