Tafiti zimesaidia kufuta baadhi ya magonjwa: NIMR

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele Malecela.

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu NIMR, imesema kuwa tafiti zinazofanywa na taasisi za utafiti zinasaidia serikali katika sekta ya Afya ikiwemo kupunguza mlipuko wa magonjwa mbalimbali yakiwemo yasiyopewa kipaumbele.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS