Angela Merkel aanza ziara ya kikazi barani Afrika Kansela wa Ujerumani akiwa na Rais wa Mali Ibrahim Boubacar Keita wakizungumza na waandishi wa habari Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ameanza ziara ya kikazi ya siku tatu barani Afrika yenye lengo la kukuza uhusiano na bara hilo. Read more about Angela Merkel aanza ziara ya kikazi barani Afrika