Teknolojia chanzo cha wazazi kusahau watoto

Askofu wa KKKT Dayosisi ya Morogoro Jacob Mameo

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Morogoro, Jacob Mameo amesema kukua kwa teknolojia ya mitandao ya kijamii kumefanya wazazi kusahau wajibu wao wa malezi kwa watoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS