Teknolojia chanzo cha wazazi kusahau watoto Askofu wa KKKT Dayosisi ya Morogoro Jacob Mameo Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Morogoro, Jacob Mameo amesema kukua kwa teknolojia ya mitandao ya kijamii kumefanya wazazi kusahau wajibu wao wa malezi kwa watoto. Read more about Teknolojia chanzo cha wazazi kusahau watoto