Walinzi waliokuwa majeruhi Azam warejea kikosini

Mlinzi wa Azam FC, Serge Pascal Wawa.

Mabeki wa Azam FC, Erasto Nyoni, Pascal Wawa na Aggrey Morris wameanza kuitumikia timu hiyo wakitokea katika matibabu ambapo hivi karibuni walicheza mechi ya kirafiki wakijumuishwa na kikosi cha vijana cha timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS