Lingard na Rashford waitwa kikosini England

Jesse Lingard (Kushoto) na Maecus Rashford

Winga wa Manchester United, Jesse Lingard, ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya England na kocha wa muda wa timu hiyo Gareth Southgate, kwa ajili ya michezo miwili ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Malta na Slovenia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS