Serikali yapongezwa kwa mradi wa bomba la mafuta

Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Dkt Godfrey Simbeye (katikati) akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo. Kushoto kwake ni Bw. Abdulsamad Abdulrahim, ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Pietro Fiorentini.

Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini TPSF imeishukuru serikali kwa kufanikisha kupatikana kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi mkoani Tanga

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS