Ndugai aifanyia mabadiliko kamati ya UKIMWI

Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Job Ndugai.

Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Job Ndugai amefanya mabadiliko ya wajumbe wote 24 wa kamati ya bunge ya masuala ya UKIMWI, kwa kuunda upya kamati hiyo na kuteua wajumbe wapya 16 ambao pia watakuwa ni wajumbe katika kamati nyingine za kudumu za Bunge

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS