Mfumuko wa bei mwezi Septemba washuka kwa 0.4%

Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Kijamii Bw. Ephraim Kwesigabo

Mfumuko wa bei unaotumika kupima kasi ya ongezeko la bei za bidhaa na huduma umeshuka kwa kipindi cha mwezi Septemba mwaka huu na kufikia asilimia 4.5 kutoka kiwango cha asilimia 4.9 ilivyokuwa mwezi Agosti mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS